ORODHA YA MAKOCHA 23 WA YANGA NDANI YA MIAKA 20




WASTANI wa miezi 10 kwa kila Kocha. Pamoja na uwingi wa makocha hao, ambao CV zao 'zimeshiba', Yanga imefanikiwa zaidi kwenye soka la ndani. Ila kimataifa mambo bado magumu.

Hebu tizama makocha waliopita Yanga katika kipindi cha miaka 20 ilikuwa namna hii:-


1. Raoul Shungu (DRC) 2000

2. Charles Boniface Mkwasa(Tz) 2001

3. Jack Chamangwana (Malawi) (rip) 2002-2004

4. Jean Polycarpe Bonganya (DRC) 2004

5. Syllersaid Mziray (Tanzania)(RIP) 2004

6. Kenny Mwaisabula (Tanzania) 2005

7. Jack Chamangwana (Malawi) (RIP) 2006

8. Milutin Sredojevic ‘Micho’ (Serbia) 2007

9. Razack Ssiwa (Kenya) 2007

10. Jack Chamangwana (Malawi) (RIP

) 2007

11. Dusan Kondic (Serbia) 2008-2010

12. Kostadin Papic (Serbia) 2010

13. Sam Timbe (Uganda) 2011

14. Kostadin Papic (Serbia) 2011

15. Tom Saintfiet (Ubelgiji) 2012

16. Ernie Brandts (Uholanzi ) 2012-2013

17. Hans Van Pluijm (Uholanzi) 2013-2014

18. Marcio Maximo ( Brazil ) 2014

19. Hans Van Pluijm (Uholanzi ) 2015-2016

20. George Lwandamina (Zambia) 2016-2018

21. Mwinyi Zahera (DR Congo) 2018-2019

22. Luc Eymael (Ubelgiji) 2019 

23. Zlatico Krmpotick (Yugoslavia) 2020

24...?



0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE