Zaiylissa ajitetea kumtosa Haji Manara

 




Muigizaji wa Filamu, Zaiylissa amesema kuwa sio kwamba alikataa kumpa mkono Haji Manara (Anadaiwa ni mpenzi wake kwa sasa) bali hakuona mkono huo na pia alikuwa naogopa sana kwani alikutanishwa na watu wengi.


0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE