Wahofiwa kufa baada ya kituo cha mafuta kuwaka moto

 WATU kadhaa wanahofiwa kufa na wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika kituo cha mafuta mji mkuu wa Conakry nchini Guinea leo.



Taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya habari Le Courrier De Conakry imefafanua kuwa idadi ya waliofariki ni wanne na waliojeruhiwa ni 100.


Polisi nchini humo wanaendelea na uchunguzi kufahamu idadi kamili ya waliopoteza maisha na kujeruhiwa.

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE