Panya aliyemwaga pombe ya ushahidi kufikishwa mahakamani

 

Panya mmoja amekamatwa kwa madai ya kumwaga chupa 60 za pombe haramu zilizohifadhiwa katika kituo cha polisi huko Madhya Pradesh, India.


Polisi wakikabiliwa na hali ya sintofahamu wakijiandaa kuwasilisha pombe hiyo iliyokamatwa mahakamani, wanahusisha unywaji huo wa ajabu na panya wanaokaa kwenye jengo hilo kuukuu.


Licha ya mashaka hayo, wanadai kuwa wamemkamata panya mmoja ‘mtuhumiwa’ na kupanga kumfikisha mahakamani kama ushahidi.

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE