Nani kafunga mwaka Miso Misondo au We Zombie

 Staa wa muziki Rayvanny anasema kuwa mwaka huu kwenye muziki umefungwa na Miso Misondo…umepigaje hapo, na wawili hao wamefanya kazi pamoja iitwayo Kitu Kizito.


Ila shabiki anasema We Zombie Hajui ndio imefunga mwaka na hiyo ni intro tu sio ngoma.


Wewe unakubaliana na nani hapa?!



0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE