Mtandao wa kijamii wa X unakumbwa na hitilafu kote duniani

 

 Jukwaa la mitandao ya kijamii X, ambalo zamani lilikuwa Twitter, linakumbwa na matatizo duniani kote.


Kulingana na Downdetector.com, ambayo hufuatilia ripoti za mitandao, zaidi ya watumiaji 47,000 wa Marekani wanakabiliwa na matatizo ya kufikia X na X Pro.


Baadhi ya watumiaji nchini Uingereza na Asia pia hawawezi kuona machapisho kwenye tovuti yenye ujumbe unaosema "Karibu kwa X!" X, ambayo inamilikiwa na Elon Musk, imeombwa kutoa maoni.

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE