Kombe la Mapinduzi kuanza leo

 

MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar inaanza leo kwa michezo miwili kufanyika uwanja uliofanyiwa ukarabati wa New Amaan.


Mchezo wa awali utazikutanisha Mlandege na Azam kabla ya Vital’O ya Burundi kuivaa Chipukizi.

Mashindano hayo yanaanza baada ya ufunguzi wa uwanja wa New Amaan kwa mchezo kati ya Timu ya taifa ya Zanzibar(Zanzibar Heroes) na Tanzania Bara(Kilimanjaro Stars) timu hizo zikitoka suluhu.

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE