Diamond ajibu kuhusu kuwafunga wanaomchafua

Staa wa muziki Tanzania na Africa Diamond Platnumz akijibu kuhusu suala la kuwafunga mashabiki wanamchafua kwa kumtupia kashfa mitandaoni.


“Ukiniangalia mimi mitandaoni watu wanaweza wakawa wananiongelea sana na mtu mwingine hata simjui anaweza akaibuka akazusha kitu, akaongea uongo na akanitukana nawaacha. Wengine naweza kuwapiga barua za defamation lakini ndio hivyo”.


“Ukishakuwa Celebrity usichukulie vitu personal. Nikiamua kufunga watu nitafunga watu wangapi au kuwapiga barua nitawapiga wangapi” amesema Diamond Platnumz

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE