Vituo vyakosa mafuta, bodaboda wauza Sh 4500 kwa lita


Bodaboda wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamelazimika kuacha kazi yao na kuanza kuuza petroli, baada ya mji huo kukosa nishati hiyo licha ya kuwepo kwa vituo vya mafuta ambavyo kwa sasa havina.


Kwa sasa lita moja ya petroli inauzwa kati ya Tsh 4,000 mpaka 4,500, awali iliuzwa 2,912, mafuta hayo yanapatikana maeneo mengine kuja kuuzwa Kiteto.

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE