MDAU : Wanawake tuhurumieni jamani. Almanusra anivunje miguu

Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Poleni na mihangaiko ya hapa na pale



Nikiwa katika pikipiki ya ofisi mida ya saa nne asubuhi wakati napeleka package kwa wateja X huko Ilala (Derivery), nimekutana na mwanamke ambaye 99% ya maungo ya mwili yake yapo wazi (Public)


Nikiwa ndani ya eneo hilo, nimekutana na mwanamama kavaa dera ambalo lina mpasuo hadi mapajani karibu na kiuno pande zote mbili akiwa kabebelea chakula mkono wa kulia huku mkono wa kushoto ukiwa unalishikilia lile dera lisiguse matope, hapo nikajikuta nacheza mchezo wa paukwa pakawa nikijaribu kuliinua dera lile kwenda juu kwa kutumia macho na kope ili niione papuchi kwa ajili ya kazi maalumu usiku, huku ulimi wangu nikiumung'unya kwa lengo la kulivuta pindo la mpasuo pembezoni ili nione mtrako ule


Katika cheza cheza hiyo, nimejikuta naparamia na kuivaa body ya fuso lililokuwa limeegeshwa somewhere. Hii ni baada ya kula zig zag moja mbili tatu kisha kukutwa na tukio hilo. Nimeanguka chini na kutawanyika mbali na pikipiki huku macho yangu yakimwelekezea yule mwanamama


Uzuri nimechukua some info za kumhusu yule mwanamama na namna ya kumpata ili kupunguza sumu kutoka kwa mmoja wa watu walioniinua pale. Pikipiki ya ofisini imeharibika sight mirrors na brake la mbele + dashboard. Mliokuwa kwenye tukio asubuhi ya leo, mwenzenu nimeumia licha ya kuchukua maamuzi ya kukimbiza pikipiki ya kazi kwa kasi ya 5G+, ilikuwa ni kwa lengo la kukwepa aibu


Niko hospitali sasa. Wanawake punguzeni kutuingiza majaribuni, tunaumia mno! 

0 Comments

banner

Ahsante kwa kutembelea zotekali blog ili kuwa karibu nasi kila wakati Jiunge katika kurasa zetu zamitandao ya kijamii  facebook , Twitter, Instagram na Youtube  NI BUREE